Wednesday 31 July 2013

BONDIA MTANZANIA AMCHAKAZA MTHAILAND.

BONDIA OMARI KLIMWERI AKITANGAZWA KUWA MSHINDI KATIKA PAMBANO HILO

BONDIA Omar Kimweri anayefanya shughuli zake nchini Australia amemchakaza Bondia wa Thailand anayejulikana kwa jina la Ekkalak Saenchan katika raundi ya kwanza.
BONDIA OMARI KIMWERI AKIMTUPIA KOMBORA BONDIA WA KITHAILAND

BONDIA OMARI KIMWERI AKIMTUPIA KOMBORA BONDIA WA KITHAILAND

KIMWERI AKIMVIZIA MTHAILAND AMPE MAKONDE MAZITO
Huku kukiwa na wimbi la mabondia wa kitanzania wanaopighwa ovyo wanapojaribu kupambana mapambano nje ya nchi na kufanya m,abondia wa kibongo kuonekana mdebwedo lakini haikuwa hivyo kwa mtanzania huyo.

PATAPICHA INAMPONGEZA KWA KUWATOA WATANZANIA KIMASOMASO NA KUWATAKA WENGINE WAONGEZE JITIHADA
source superd blog

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako