Friday 21 September 2018

JAH KIMBUTE AFARIKI DUNIA

Nguli wa Muziki wa Reggae nchini Tanzania Samwel Mleteni maarufu kwa jina la Jah Kimbute amefariki jana nyumbani kwake Masaki Jijini Dar es Salaam
Jah Kimbute
Mwili wa Marehem unatarajiwa kusafirishwa kuelekea Jijini Tanga kwa maziko.

MATOKEO YA MECHI ZA LIGI KUU BARA MZUNGUKO WA TANO


Friday 7 September 2018

KAMPENI YA FURAHA YANGU

VIONGOZI WA SERIKALI NA WADAU WA KAMPENI YA FURAHA YANGU

MKUU WA WILAYA YA TEMEKE KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MY WAY TANZANIA

ZOEZI LA UPIMAJI LIKIENDELEA MBAGALA ZAKIEM
MKUU WA WILAYA YA TEMEKE MHE FELIX LYANIVA AKIPITA KWENYE MABANDA YA UPIMAJI