Wednesday 31 July 2013

KITU CHA MWISHO WANACHOJIANDAA KUKIFANYA MAN UNITED KUMSAJILI FABREGAS

MANCHESTER UNITED WATAWEZA KUSAJIL;I KIUNGO HUYO AMBAYE KOCHA WA BARCA BADO ANATAKA KUENDELDEA KUFANYA NAE KJAZI NDANI YA TIMU HIYO.

MANCHESTER UNITED wanajiandaa kuvunja rekodi ya usajili kwa klabu yao kumsajili Cesc Fabregas kutoka klabu ya FC BARCELONA.Habari kutoka katika gazeti la Daily Mail la Uingereza linasema kuwa Mabingwa hao wa ligi kuu ya Uingereza watatoa dau la paundi million 35 kama ofa ya mwisho kumnasa kiungo huyo.

KOCHA WA MAN UNITED ANAYEMMEZEA MATE KIUNGO FABREGAS WA BARCELONA

Tayari Manchester wameshatuma dau la paundi millioni 26 na 30 kabla ya kukataliwa na mabingwa hao wa Hispania. Ingawa Barcelona wametangaza waziwazi kutomuuza Fabregas, haswa kutokana na kocha mpya wa timu hiyo aliyesema anataka kufanya kazi na Fabregas na hivyo hayuko tayari kuona anauzwa.

FABREGAS

REKODI YA UNUNUZI WA WACHEZAJI KWA KLABU YA MAN UNITED
  • Roy Keane kutoka Nottingham Forest, Paund 3.75m (July 1993)
  • Andy Cole kutoka Newcastle, Paund 7m (January 1995)
  • Jaap Stam kutoka PSV, Paund 10.75m (July 1998)
  • Dwight Yorke kutoka Aston Villa, Paund 12.6m (August 1998)
  • Ruud Van Nistelrooy kutoka PSV, Paund 19m (July 2001)
  • Juan Sebastian Veron kutoka Lazio, Paund 28.1m (July 2001)

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako