Wednesday 31 July 2013

KAVUMBAGU AJIGAMBA KUWA KINARA WA USHINDANI WA NAMBA YANGA

KAVUMBAGU AKITAMBULISHWA SIKU YAKE ALIPOSAJILIWA NA YANGA

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Didier Kavumbagu, raia wa Burundi, amekiri kuwa kutakuwepo na ushindani wa namba msimu ujao wa l;igi katika timu hiyo lakini akasema anajipanga kuhakikisha anakabiliana na hilo.
Didier Kavumbangu mchezaji wa Yanga aliyesajiliwa toka timu ya Olympique kutoka Burundi akionekana haswa kutoka katika michuano ya kombe la Kagame, Amesema atahakikisha anajifua kwa bidii zaidi ali awe fiti na aweze kumshawishi kocha wa Yanga Brants aweze kumpanga katika kikosi hicho cha mabingwa wa soka wa Ligi kuu ya Tanzania bara

“Ninakubali na najua kuwa kutakuwa na ushindani mkubwa t “Nitajituma kwa nguvu zangu zote kuhakikisha sipotezi nafasi yangu,” alisema Kavumbagu.faut naule wa msimu uliopita lakini najitahidi kuhakikisha sipotezi nafasi yangu Alisema Kavumbagu.
KAVUMBAGUUUUUUUU
Alisema najuakusajiliwa kwa washambuliaji wengi kwenye timu yetu kumefanya kuwa na changamoto na nitakuwa nashindania namba dhidi yao lakini najianmini na naamini nitashinda katika hilo kwa maendeleo ya timu yangu.

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako