Tuesday 13 August 2013

BECKHAM KUVUTA MKWANJA MREFU




David Beckham amestaafu kucheza soka baada ya miaka 20 ya kucheza mchezo huo. Soon baada ya kuweka rekodi ya kuvaa medali ya nne katika ligi kubwa nne tofauti duniani akiwa na Saint-Germain, nahodha huyu wa zamani wa England ametangaza rasmi kustaafu soka.

This latest title was the tenth of his career katika nchi nne, makombe aliyoshinda na Manchester United ya Premier League, moja kwenye La Liga na Real Madrid and the two he earned in MLS with the Los Angeles Galaxy. Beckham ameweza kuichezea England kwenye michezo 115, na aliiongoza nchi yake katika two World Cups (appeared in three) pamoja na European Championship.

Pamoja na uamuzi huu wa kustaafu, but don't expect him to fade into the sunset, unless it's a fabricated one with cameras rolling and a director yelling 'Action!' Beckham ataendelea kubaki kwenye spotlight pamoja na kuendelea kuwa mmoja wacheza soka watakaokuwa wanaingiza mkwanja mrefu huko mbeleni.
 
Last year he made $50.6 million, ambazo ni $6.5 million ndizo zilizotokana na mashahara wake, akishika nafasi ya kwanza katika listi ya Forbes ya wanasoka wanaolipwa fedha nyingi. (In fact, so little has salary had an impact on him, kiasi kwamba katika dili lake na PSG, Beckham opted to donate his salary to a children's charity.) Kiasi kilichobakia cha $44 million zilitokana na endorsements deals — zaidi ya $33 million kutoka kwenye deals with Adidas , Breitling, Coty, H&M , na Sainsbury, mikataba yote itaendelea kwa miaka kadhaa mbele.

Dili mpya zinaohusiana na soka alizosaini miezi mitano iliyopita itasaidia kutunisha zaidi mfuko wake. In March, alisaini dili na kuwa Chinese Super League to become its first global soccer ambassador katika juhudi ya kuipromoti na kuisafisha image ya soka la nchi hiyo baada ya kukumbwa na match-fixing scandal. The multi-year, multimillion deal litamfanya Beckham kusafiri mara kwa mara kwenda China kama ilivyotokea wiki kadhaa zilizopita pamoja na kucheza mechi za hisani.

Pia hivi karibuni mwezi wa nne, Becks alisaini mkataba wa kuwa balozi wa BSkyB, the British satellite TV provider - kampuni ambayo billionea Rupert Murdoch anamiliki hisa, Beckham atakuwa akionekana kwenye matangazo ya kuitangaza network hiyo na kushawishi ushiriki wa vijana katika soka ndani ya UK na Ireland. 's News Corpowns a stake, to appear in ads to promote the network and encourage youth participation in soccer across the UK and Ireland. Dili hilo litamuingizia Beckham kiasi cha $30 million katika kipindi cha miaka 5 years.

As a result, Beckham ataendelea kutengeneza kiasi kisichopungua $40 million kwa mwaka huu na ujao, kiasi kinachotosha kabisa kuwa miongoni mwa top three highest-paid soccer stars kwa pamoja na Cristiano Ronaldo na mchezaji bora wa sasa wa dunia Lionel Messi.
 
Pia hilo linamuweka kwenye category ya aina yake ya wachezaji waliostaafu wanaowazidi wachezaji wanaocheza mchezo aina yao kwa kuingiza fedha nyingi. Michael Jordan ndio kiboko yao kwenye listi hiyo, bado anatengeneza kiasi kisichopungua $80 million a year.

Kama Mike, Becks baada ya kutengeneza headlines na kustaafu ameanza kuhusishwa na kutaka kurudi kwenye soka, lakini safari hii sio kucheza wala ukocha bali kumiliki timu ya soka. Hivi karibuni Becks kwa kushirikiana na Billionea wa Bolivia Marcelo Claure walitembea huko Miami wakiangalia namna wanavyoweza kuwekeza ligi ya MLS kwa kumiliki timu ya soka ndani ya Miami.
PSG pia wamekaririwa wakisema wana matumaini ya kumfanya Beckham kuwa balozi wao baada ya kustaafu soka akiwa na klabu hiyo. Majadiliano juu ya mpango huo na klabu hiyo inayomilikiwa na Qatar Sport Investment ya serikali ya Qatar yameshaanza.

"Kuwa na Beckham miongoni mwetu, uwanjani au nje ya uwanja, ni muhimu sana," PSG president Nasser Al-Khelaifi alikaririwa nagazeti la Ufaransa, L'Equipe. "Sie tupo tayari kufanya nae kazi, sasa maamuzi yamebaki juu yake."

Yote haya yanaonyesha kwa namna ambavyo alivyo na high demand, baada ya kustaafu Beckham ataendelea kutunisha mfuko na kuendelea kuwasumbua akina Ronaldo na Messi kwenye listi ya wanasoka wanaoingiza fedha nyingi annually.

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako