Sunday 23 June 2013

ZILE PICHA ZA NGWEAR AKILA BATA NA WATU WAKE ZIKO HAPA

kutoka kushoto Dagma ambaye alikuwa mchizi wa Ngwear na Marehemu wakiwa ndani ya jezi ya  JAH KAYA
Marehemu Ngwear akijinafasi na supu ya kuku enzi za uhai wake maeneo yetu ya uswazi na ndiyo sababu kubwa iliyomfanya apendwe na wa kila rika
Ngwear akiwa ndani ya gari na Babuu wa kitaa na wanyamwez wengine kama Adam Mchomvu nyuma ya siti ya Ngwear mbele akiwa Squizzer mwenye rasta
Cow Obama akipata msosi pembeni yake akipiga stori na Bushoke
Ngwear na Chidi Benz walipokuwa studio wakifanya ngoma ya SPIDI 120

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako