Wednesday 26 June 2013

HABARI MPYA INAYOMHUSU RONALDO KURUDI MANCHESTER IKO HAPA

Ronaldo akiwa na Mzee wa Ferguson katika mechi iliyowakutanisha Manchester na Real Madrid

Mshambuliaji wa Real Madrid Christian Ronaldo anajiandaa kuongea na klabu yake ya zamani ya Manchester United juu ya mustakabali wake wa kusajiliwa na timu hiyo ya jiji la Manchester United.
Kocha mpya wa Man united David Moyes
Gazeti la michezo la Daily Mirror la uingereza limetoa taarifa kuwa mchezaji huyo aliye mapumnzikoni ana asilimia chache za kuendelea kubaki Santiago Bernabeu kwa mara nyingine  na vikao vya siri kati ya mchezaji huyo na mashushu wa klabu ya manchester United  inaweza kuwa ndo chanzo cha mchezaji huyo kuwa karibu kurudi katika jiji la Manchester United.
Ronaldo enzi zake akiwa Man united
Madrid walikuwa na matumaini ya kumbakisha mchezaji huyo haswa kocha wake mpya Carlo Anceloti alipotoa taarifa kuwa anajisikia faraja xana kufanya kazi na mchezaji huyo na taarifa za kubaki kwa wayne rooney katika klabu hiyo kunatoa mwanya kwa timu hiyo kuweza kujiimarisha msimu ujao.
Ronaldo akifanya vitu vyake Madrid

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako