Tuesday 25 June 2013

PICHA ZA SAMATTA AKIWA KAZINI MECHI YA TP-MAZEMBE NA LUPOPO ZIPO HAPA

Mbwana samatta a.k.a "Samagoals aliyevaa nambari 15," akivizia mpira wa kona katika goli la Fc Lupopo
Hekaheka langoni kwa FC lupopo
Samatta na wachezaji wenzake wakimpongeza mcheaji mwenzao mara baada ya kufunga bao dhidi ya Lupopo
Mbwana Sammata akifanya mavituzi yake katika mchezo huo ambao Mazembe walishinda bao 1-0,
Kikosi cha Tp mazembe kilichoshinda mchezo huo wa ligi kuu ya Kongo  dhidi ya Fc Lupopo

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako