Thursday 27 June 2013

BRAZIL ILIPOILAZA URUGUAY KWA 2-1

Brazil imeifunga uruguay mabao 2-1 katika mchezo uliozikutanisha timu hizo, magoli ya Brazil yalifungwa na Fred na Paulinho wakati lile la Uruguay likiwekwa kimiani na Edison Cavan.
Mchezaji wa Brazil Fred akishangilia bao la kwanza la Timu hiyo akiwa na wenzake Hulk(19) na   Dan Alves (2)
Mchezaji wa Brazil Neymar akifanya vitu vyake
Neymar akiwasumbua  Uruguay, kona ya Mchezaji huyo ndio iliyozaa bao la pili
Mlinda mlango wa Brazil Julio cesar akiokoa penat ya uruguay iliyopigwa na  Diego Forlan mara baada ya David luiz kmsukuma mchezaj wa urugua katika eneo la hatari
Wazee wa Samba wakiwaaga mashabiki wao mara baada ya kwisha kwa mchezo huo
THIAGO SILVA NA FRED  WAKIMPONGEZA KIPA WAO JULIO CEASER BAADA YA KUOKOA PENALT YA FORLAN
FRED AKITUPIA GOLI LA KWANZA KWA BRAZIL

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako