Saturday 29 June 2013

AJALI MBAYA YA GARI LA WATALII NCHINI UGANDA

LORI LA WATALII LIKIWA LIMEHARIBIKA VIBAYA MARA BAADA YA AJALI

WANANCHI WAKILISHUHUDIA GARI LA MAZIWA LILILOSABABISHA AJAL HIYO LIKIWA LIMEHARIBIKA VIBAYA
WANANCHI WAKILISHANGAA GARI HILO MARA BAADA YA AJALI
Lori lililobeba watalii nchini Uganda katika kitongoji maarufu kwa jina la Nabunsake kilomita chache kufika katika mji mkuu kampala lilipinduka na kusbabisha vifo vya watu watatu
WATAFUTA CHOCHOTE NAO WALIKUWEPO
.
Shuhuda wa tukio hilo alisema chanzo cha ajali hiyo kilisababishwa na lori la maziwa lililokuwa katika mwendo kasi na kuipita cruiser(aina ya gari) bila ya umakini.

GARI MRA BAADA YA AJALI MBAYA
Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema ajali nyingi zinazotokea katika barabara hiyo zimuwa zikisababishwa na malori hayo ya maziwa yanayoendeshwa kwa mwendo kasi na bila umakini na hivyo kuwataka polisi kuwa makini na maisha ya watu na si manufaa ya mabosi wa magari hayo ya maziwa.

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako