Tuesday 22 October 2013

PICHA ZA MATUKIO YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU "UNCLE J" MOROGORO

Mhe. Abdulazizi Abood Mbunge wa Morogoro Mjini ambaye pia ni Mmiliki wa Kituo cha Radio na Tv Abood Media akizungumza na Rafiki wa Karibu wa Marehemu Misanya Bingi pamoja na Meneja Masoko wa Abood Media Abeid Dogoli
Tumie Omary mtangazaji wa Radio One (aliyetokea Abood Radio) akiwa kwenye msiba na Hilda Singano mtangazaji wa Radio Abood
Padre akiongoza misa ya Kumwombea Marehemu Julius Nyaisangah
Padre akiongoza misa ya Kumwombea Marehemu Julius Nyaisangah
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Stephen Mashishanga, akiwa na Mstahiki Meya wa Morogoro Mjini, Amir Nondo, Mbunge wa Morogoro Mjini Aziz Abood na Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Antony Mtaka
Baadhi ya waandishi wa Habari wakiwa na majonzi nyumbani kwa marehemu Julius Nyaisangah
Umati uliokusanyika nyumbani kwa Marehemu Julius Nyaisangah
Mwakilishi wa Waandishi wa Habari Morogoro akitoa Rambirambi ya Shilingi Laki Tatu kwa Mke wa Marehemu Julius Nyaisangah
Mstahiki Meya wa Morogoro Amir Nondo akitoa Heshima zake za mwisho kwa Marehemu Julius Nyaisangah
Mkuu wa Mkoa Mstaafu Steven Mashishanga akitoa Heshima zake za mwisho kwa Marehemu Julius Nyaisangah
Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro Jarvis Simbeye akitoa Heshima zake za mwisho kwa Marehemu Julius Nyaisangah

Padre akitoa Heshima zake za mwisho kwa Marehemu Julius Nyaisangah
Mfanyabiashara maarufu Verus Bitatio akitoa Heshima zake za mwisho kwa Marehemu Julius Nyaisangah
Baadhi wa waandishi wa Habari wakitoa Heshima zake za mwisho kwa Marehemu Julius Nyaisangah
Mjane wa Marehemu Bi. Leah akitoa heshima zake za mwisho kwa Mumewe
Mpwa wa Marehemu akitoa heshima zake za mwisho
Mandhari nyumbani kwa marehemu wakati wa Jana Mchana
Wasifu wa Marehemu Kwa Ufupi
Mbunge wa Morogoro Mjini na Mmiliki wa Kituo cha Tv na Radio Abood Media, Mhe. abdulaziz Abood Akitoa heshima zake za mwisho kwa Marehemu

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako