Monday 21 October 2013

NAY WA MITEGO ASHINDANIA TUZO NCHINI KENYA


Thnx kwa mashabiki na media zote zina nazo sapoti muziki wangu #966. Nimeingia katika tunzo nchini kenya katika category mbili wimbo bora wa mwaka East Africa ambao ni Muziki Gani category ya pili Msanii bora wa kiume Tanzania. #966 tuombe Mungu izi zote mbili tuchukue.. Siku ya tuzo ni tarehe 23 mwezi 11..!!

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako