Monday 21 October 2013

OMMY DIMPOZ AVUTA MARK X MPYAAA


Mwanamuziki aliyetoka kwenye bendi ya TID iitwayo TOP BAND Ommy Dimpoz amechukua gari mpya aina ya Mark x hivi karibuni
Camera ya Blogger maarufu hapa jijini ilifanikiwa kukutana na usafiri huo maeneo ya mikocheni ukioshwa kwenye enero maarufu la kuoshea magari linalomilikiwa na msanii Jaffarai (Jaffarai Car Wash)

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako