Thursday 30 January 2014

AJALI YAKUTISHA MTU MMOJA AGONGWA NA TRENI NA KUKATIKA SEHEMU MBILI

Hii ni moja kati ya Ajali za kutisha sana kuwahi kutokea tangia kuanzishwa kwa usafiri wa treni katika jiji laa Dar es Salaam
Ajali hii imetokea Maeneo ya Mabibo mwisho wa lami mara baada ya mtu mmoja jina halikuweza kupatikana kwa haraka kutaka kuvuka upande wa pili kumbe ndio safari yake ya mwisho ilikuwa imewadia
Picha zinazofuata ni za kusikitisha sana na tunaomba radhi kwa picha hizi japo jamii inapasa kufaham.




No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako