Friday 24 January 2014

YOUNG DEE NAYE ANUNUA NYUMBA KIMARA


Wanamuziki wa kizazi kipya wanaendelea kufanya mambo mazuri  kutokana na kipato wanachopata kwenye muziki.
Msanii David Geez maarufu kama Young D ame-share picha za nyumba aliyonunua huko Kimara Suka.
David amenunua nyumba hiyo ambayo ataifanyia ukarabati ilikufikia kiwango anachokitaka yeye na kuhamia baadae.

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako