Sunday 5 January 2014

JUSTIN BEIBER - BADO NAMPENDA SERENA GOMEZ


Justin Beiber nbado inaonyesha anampenda mwanadada Selena Gomez baada ya kupost picha kwenye mtandao akiwa amekumbatiana na mwanadada huyo 
Katika picha hiyo Beiber ameweka saini yake na kuandika maneno yafuatayo "Love the way you Look at me" akimaanisha anampenda jinsi anavyomuangalia.
Mikono ya mwanadada Serena inaonekana imemkumbatia beiber akimuangalia kimahaba.
Post ya mwisho ambayo Serena Gomez aliyoitoa mapema wiki hii kuhusiana na Justin Beiber (JB) ni kuwa "Every woman learns -- you can't resist the Biebs" 

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako