Saturday 4 January 2014

BI. KHADIJA KOPA AKANUSHA KUWA NA ACCOUNT YA FACEBOOK


Malkia wa Mipasho bi. Khadija Kopa akanusha kuwa na account ya facebook na badala yake ametahadharisha washabiki wake kuwa, kuna utapeli ambao unaendelea na kuna mtu anatumia jina lake
Amewataka mashabiki wake wasidanganyike na utapeli huo na tayari keshatoa taarifa polisi.
 

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako