Wednesday 29 January 2014

NYOKA WATUMIKA KUFANYA MASSAGE NCHII INDONESIA


Jinsi siku zinavyokwenda na mambo ndiyo yanazidi kubadilika.
Huko Jakarta, Indonesia katika sehemu ya Bali Heritage Reflexology wameanzisha massage mpya ambayo hutumia Nyoka mbalimbali kumfanyia massage mteja.
Kama Inavyoonekana kwenye picha kijana wa kiume akiwa ametulia akifanyiwa massage na Nyoka zaidi ya watatu.
Gharama ya kufanyiwa Massage kwa kutumia nyoka hao ni Paundi 30 ambazo ni sawa na Sh.66,000/= za kitanzania.
 

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako