Tuesday 14 January 2014

UJIO MPYA WA J-LO KATIKA MUZIKI


Kama wewe ni shabiki wa Jennifer Lopez basi utakua umezimiss sana kazi zake kwenye muziki.
Same girl ndio wimbo mpya kutoka kwa JLo ambao umeandikwa na Chris Brown.

J Lopez ametumia muda wake akiwa studio na Future, Big Sean, Robin Thicke, Sia na Red One kuandaa nyimbo za album yake ya kumi. 

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako