Wednesday 29 January 2014

DIAMOND AZIDI KUMNOGESHA WEMA SEPETU


Baada ya kupiga shoo ya nguvu Nchini Kenya, msanii anayeongoza kwa gharama za malipo ya shoo zake, Naseeb Abdul a.k.a Diamond aingia dukani na kumnunulia zawadi mpenzi wake.
Diamond alionekana akifanya manunuzi ya manukato mbalimbali Nchini Kenya ambapo muda mfupi baada ya kutua Dar, Mpenzi wake Wema Sepetu alipost Twitter akielezea Zawadi alizonunuliwa na Msanii huyo.

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako