Tuesday 31 December 2013

BAS LA KIMATAIFA LATUA JIJINI LALETWA NA AZAM

Haijatokea bado kwa Afrika nzima 
Basi jipya la wachezaji wa klabu ya Azam FC ya Dar es Salaam, lililowasili nchini juzi likiwa tayari kusafirishwa visiwani Zanzibar ambako timu hiyo imekwenda kushiriki Kombe la Mapinduzi.
Hili ni aina ya mabasi ambayo yanatumiwa na klabu za Ulaya kama Manchester United, Bayen Munich na Barcelona ambalo kwa Afrika Azam inaweza kuwa klabu ya kwanza kulimiliki.

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako