Monday 16 September 2013

JYOTI AMGE MWANAMKE MFUPI KULIKO WOTE DUNIANI

Jyoti Amge amezaliwa December 16, 1993 ni mkazi wa Nagpur, Nchini India, vitabu vya dunia vya kuweka kumbukumbu (Limca Book of Records na Guinness Book of Records) vimethibitisha kuwa Jyoti ndiye mwanamke mfupi kuliko wanawake wote duniani walio hai.


Jyoti Amge mwenye urefu wa futi 62.8 cm (2 ft 0.6 in) amefaya mahojiano na Television mbalimbali katika nchi za magharibi
Udomaaji wake kiurefu ni kutokana na ugonjwa unaojulikana kwa jina la achondroplasia
Hizi ni baadhi ya picha zake
 Jyoti akiwa amebebwa na Baba yake Mzazi
 Jyoti akipimwa urefu na Dokta wake pembeni ni mama yake mzazi pamoja na baadhi ya ndugu zake
 Jyotii Amge akijilinganisha na chupa ya soda
 Jyotii Amge akiwa na wazazi wake
 Jyotii Amge akiwa na wanafunzi wenzake shuleni
 Jyotii Amge akipimwa urefu
  Jyotii Amge akisoma gazeti ambalo linaonekana kumzidi urefu
  Jyotii Amge akiwa amekaa kwenye kiti chake nyumbani
  Jyotii Amge akiwa na mtu mrefu kuliko wote duniani

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako