Sunday 1 September 2013

CHEKA AMSAMBARATISHA MMAREKANI


Nyota ya bondia wa Tanzania, Francis Cheka imezidi kung’ara baada ya kumtwanga kwa pointi bondia kutoka Marekani, Phill Williams katika mpambano wa raundi 12 wa kuwania mkanda wa dundia wa Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Duniani (WBO).
Cheka ambaye alionekana kutawala mpambano huo toka raundi ya kwanza alifalifanikiwa kumwangusha mpinzani wake lakini aliendelea na kumaliza hadi raundi ya mwisho.
Bondia huyo ambaye hana mpinzani hapa nchini amekabidhiwa mkanda wake WBO.

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako