Wednesday 27 November 2013

WATU WA-HACK ACCOUNT YA INSTAGRAM YA JOKETI MWEGELO "KIDOTI"


Ikiwa ni wiki kadhaa tangu Jacklyn Wolper kudhalilishwa kwenye ukurasa wa facebook,sasa leo yameibuka mengine kwa Jokate Mwegelo.
Jokate Mwegelo akionyesha kusikitishwa na kuwapa pole mashabiki wake kwa kile kinachoendelea instagram,baada ya watu kuibuka na kutumia jina lake vibaya katika mtandao huo,kisha kuwatapeli fedha mashabiki wake chini ya shilingi laki tatu.

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako