Wednesday 26 March 2014

CHEKI TATOO KUBWA ALIYOCHORA JUSTIN BEIBER MKONONI



Justin Bieber anaonekana kutaka kujibadili kabisa kwa vitu mbalimbali tofauti na Yule tuliyekuwa tunamjua kwenye Albam yake ya My World na wimbo kama Baby.

Jarida la forbes ya over exposed celebrity,la hivi karibuni Justin Bieber alikaa top kwenye hiyo list kutokana na matukio yake ya kukamatwa na polisi pamoja na kuamua kubadilisha muonekano wake kabisa kwa kuchora tatoo kubwa kwenye mikono yake yote miwili.

Bieber ana tatoo kadhaa kwenye mwili wake ambazo zilikuwa hazionekani kutokana na nguo lakini hizi zitakuwa zinaonekana vizuri kwa sababu zipo mikononi na rangi yake inaruhusu tatoo kuonekana vizuri.

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako