Monday 10 February 2014

STENDI YENYE AC - DUBAI


Katika Nchi zenye utajiri mkubwa na mazingira mazuri ya kuishi, mojawapo ni Dubai ambayo ina viitu vingi vya ziada.
January 2014 kupitia Dubai 1 TV, serikali ya nchi hii imetangaza kuweka AC kwenye vituo vyote vya basi ili kusaidia wasafiri mbalimbali kwenye kipindi cha majira ya joto, kipindi ambacho kinasifika kwa joto kubwa

 

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako