Saturday 22 February 2014

AY AZIDI KUTENGENEZA FEDHA ZAIDI KUPITIA MATANGAZO


Diamond Platniumz na Mzee wa Commercial, walionekana kwenye ndege hivi karibuni wakielekea Nchini Afrika Kusini, Taarifa zinasema ya kuwa  wamekwenda kwa ajili ya video ya One Campaign inayohusisha wasanii zaidi ya 20 kutoka nchi mbalimbali za Afrika.

Baada tu ya kutua ndani ya ardhi ya Tanzania ameingia tena kwenye vichwa vya habari kupitia   tangazo la Television la Kampuni ya vitu tofauti ya Samsung.

Ay Alipost Hii Picha akiwa na mwanamitindo Zuu maarufu kama Zuu wa Kamiligado kisha akaweka  ujumbe huu.
“Team no sleep…Mzee wa Commercial on Set.. #SAMSUNGNEWTVC”

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako