Thursday 14 May 2015

FAINALI UEFA JUNI 6, NI KATI YA FC BARCELONA VS JUVENTUS


Fainali ya Michuano ya Klabu Bingwa UEFA itafanyika Juni 6, 2015 kwa kuwakutanisha Mabingwa wa Hispania klabu ya Fc Barcelona dhidi ya Wazee wa Turin Juventus katika uwanja wa Olympiastadion, Berlin nchini Ujerumani
Barca waliwatoa Bayern Munich katika hatua ya nusu fainali kwa jumla ya Goli 5-3
Wakati Juventus wamefanikiwa kutinga fainali hizo baada ya kuwaliza Real madrid kwa jumla ya goli 3-2

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako