Thursday 11 December 2014

UEFA YATINGA MTOANO 16 BORA

MICHUANO YA LIGI YA MABINGWA {UEFA} IMEENDELEA HAPO JANA KWA KUMALIZIKA AWAMU YA MAKUNDI NA KUTINGA RAUND YA MTOANO WA 16 BORA

KATIKA MECHI ZILIZOPIGWA HAPO JANA CLUB FC BARCELONA IMEWAFUNGA MAHASIMU WAO PARIS SAINT GERMAIN [PSG] GOLI 3 KWA MOJA KATIKA UWANJA WA NOU CAMP 
MAGOLI HAYO YALIWEKWA WAVUNI NA LIONEL MESSI DK 19, NEYMAR DK 42, NA SUAREZ DK 77, HUKU GOLI LA PSG LIKIWEKWA WAVUNI NA ZLATAN IBRAHIMOVIC

AIDHA KATIKA MECHI NYINGINE MANCHESTER CITY IMEFANIKIWA KUTINGA 16 BORA BADA YA KUIFUNGA AC ROMA GOLI 2 BILA
HUKU MABINGWA WATETEZI BAYERN MUNICHEN WAKIIFUNGA CSKA MOSKOW GOLI 3 BILA, CHELSEA NAYO IMEENDELEZA USHIND KWA KUIFUNGA 3 – 1 SPORTING LISBON
AJAX AMSTERDAM IMESHINDA 4 BILA DHIDI YA APOEL NICOSIA HUKU FC PORTO WAKITOKA SULUHU YA MOJA KWA MOJA NA SHAKHTAR DONETSK
TIMU ZILIZOFANIKIWA KUFUZU KWENYE RAUND YA MTOANO 16 BORA KUTOKA KUNDI A NI CLUB ATHLETICO MADRID NA JUVENTUS
KUNDI B NI REAL MADRID NA FS BASEL
WAKATI KUND C ZIKIPITA BORUSSIA DORTMUND PAMOJA NA ARSENAL
BAYERN MUNICH IMEFANIKIWA KUONGOZA KUND D IKIFUATIWA NA MANCHESTER CITY HUKU FC BARCELONA IKIVUKA AWAMU HIYO YA MAKUNDI NA PSG KUTOKA KUNDI E
CHELSEA NA SHALKE O4 ZOTE ZIMEFUZU KATIKA KUNDI G HUKU FC PORTO IKISHIKA USUKANI WA KUNDI H IKIFUATIWA NA SHAKTAR DONESTSK NA KUFANIKIWA KUFUZU KWENYE MTOANO WA 16 BORA
LIGI KUU YA UINGEREZA IJULIKANAYO KAMA BARCLAYS PREMIUM LEAGUE IMEFANIKIWA KUPITISHA TIMU 4 KATIKA AWAMU HIYO YA MTOANO AMBAZO NI MANCHESTER UNITED, CHELSEA, ARSENAL NA MANCHESTER CITY


No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako