Friday 21 September 2018

JAH KIMBUTE AFARIKI DUNIA

Nguli wa Muziki wa Reggae nchini Tanzania Samwel Mleteni maarufu kwa jina la Jah Kimbute amefariki jana nyumbani kwake Masaki Jijini Dar es Salaam
Jah Kimbute
Mwili wa Marehem unatarajiwa kusafirishwa kuelekea Jijini Tanga kwa maziko.

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako