Wednesday 1 January 2014

TV KUBWA ZAIDI YA KITANDA YAINGIA SOKONI


KAMPUNI YA KIKOREA SAMSUNG IMEINGIZA SOKONI TV MPYA YENYE UPANA WA INCH 102 NA UREFU WA INCHI 70,UKUBWA AMBAO NI ZAIDI YA KITANDA KIKUBWA.
KWA MARA YA KWANZA KOREA KUSINI IKIWA INAUZWA 160MILLION WON YA KOREA KUSINI NI SAWA NA SHILINGI MILIONI 241 ZA KITANZANIA
TV HII INATUMIA TEKNOLOJIA YA U-HDTV(Ultra-High Definition Television) INAYOSABABISHA PICHA KUONEKANA VIZURI ZAIDI YA MARA NNE YA TV ZA HD ZA KAWAIDA
IMEANZA KUUZWA JANA (30DEC) KOREA KUSINI,LAKINI BAADAE ITAANZA KUUZWA AU KUPATIKANA SEHEMU MBALIMBALI ZA DUNIA!!

No comments:

Post a Comment

Ahsante kwa Maoni yako