![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh28HTQw62wTPllhdmZN4jx0HeJmVnLGWAuMGYk9AU1V5WewX2bs-CfJDRptDOTjmWEr9xi2cBdTJjxDp62R9K6iED6IKjXCFtBm1QLdau_2mIK5r92V4vJ3Tpf_k-KzT0-bTrSfWNy-EI/s1600/Mwanafa1.patapicha.jpg)
Hamis Mwinyijuma "MwanaFA" ameuanza mwaka 2014 kwa mbwebwe za ajabu baada ya kuingiza gari mpya aina ya Toyota Mark X.
Picha ya gari hiyo kwa mara ya kwanza ime-postiwa na Mmiliki wa Showroom maarufu hapa Dar es Salaam ambaye pia ni msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, maarufu kama Jaffarai ambapo aliandika
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQJ8fZWeCPOPf2JpXD8VI3wm9TUxkGUO7La7Mb9qa35z-iEiLGXrw9TwE752cPtzWsEimK_Dsz3sYD6kCh-kjxSoe4Ved8kTw5KzR6STnDgQGIwhq9_29IT16tovelTUdSCKEY2Ei61bU/s1600/MwanaFA.patapicha.jpg)
"Ma Nigga @ mwanafa came to shower….real niggaz supports eral nigga,"
baadhi ya picha zikioyesha gari hiyo ikioshwa huku ikiwa ina chassis number pekee "GRX120 0009631"
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8e27nY91vn4eG1JomrQFfn0IgTEYVkdbHGb0nrC1ejxOkcXG_XUqYka6ecEvfBywM_EUCXmX9W-dtAWLByQ8FXTas6nsVfCp0PsLZYzH8ogh1LuYtfyOIW9UZqZggPeyT2a5-ZXHa_U0/s1600/Mwanafalsafa.patapicha.jpg)
MwanaFa naye alipost picha ya gari hiyo kwenye mtandao wa kijamii Instagram na kuandika "Shower … kwa @ jaffaraijaffarhymes."
No comments:
Post a Comment
Ahsante kwa Maoni yako