Video mpya aliyoiachia Naseeb Abdul “Diamond” inayokwenda kwa jina la Number One Rmx baada ya kuachiwa Mwishoni mwa wiki iliyopita Diamond ameweka wazi kuhusu gharama za video Hiyo.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjhHYseFaBJMo4aXvV3toMXVW95X_vCRt0H_J-bgCb5kCguwzrHSuT8kSjuHsoTX5BiGozRiaVAhmwpqtDmcDh4SHFldJXlO2GxambcL5pxMwOTNo_z0sI_qtSqaXWDjuQAAQcs4uiEA5k/s1600/Diamond+davido.patapicha.jpg)
Diamond anasema gharama ambazo ametumia nyingi ikiwemo Dola 25,000 (ambazo ni millioni 40 za kitanzania) ambayo hazijumuishi usafiri wala accommodation walivyokua huko Nigeria.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjH8skmeJjeaIX5BZkz-nkS7XWQ8cPYm9B9VvrmeVbqNmznJKu8u_MMjA8H3CPV8ohN5UiQf7JaCuw16srbn8a-p-NyCfYBMGiXEb4XTIJhmbXCsp5J22JevH_oC0OV1qKGKonOyFYPL7A/s1600/davido+diamond.patapicha.jpg)
Diamond amelipa kiasi hicho cha dola kwa Director Clarence Peters wa Nigieria kufanya production ya hii video ambapo ilijumuisha gharama za kila kitu hadi models na dancers.
No comments:
Post a Comment
Ahsante kwa Maoni yako