![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiNqR0-vle8w30JJQDPDMAEETQny0trME90NqrtHnVUD7oR5wpw-k4omz-uX61vuuD6V_2YErp3gXFI0Jjp9LYSKvz1cfGT3NWipoaWz0KZCdZRrd_UMaCJR8qNjuMwvjKa3VRyDAxE8Mk/s1600/Gurumo.patapicha.jpg)
Mzee Gurumo afariki dunia leo saa 8:11 mchana katika
Hospital ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwIOJh0PTOx705m4ptpED2U-xIQCIjvWbi6qwiafq9k5BHHDMRBmwpg-f9Ynrst66WwCfAizcx6OnVAGa0cefLMss7XPnzuaC1A9dZVuy9mtPhR3lZemLcOFB5Nz9oJrNnQBHfIjGtBi4/s1600/Mzee+Gurumo.patapicha.jpg)
Taarifa zilizothibitishwa na hospitali ya Taifa
Muhimbili zimesema Mzee Gurumo amefariki dunia akiwa hospitalini hapo leo April
13 2014 baada ya kuletwa jana asubuhi na kulazwa kwenye wodi namba 6 ya
Mwaisela kutokana na kuzidiwa.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgLdioJTP8dzqXwOAGX7pfytl3zb_UaFjDHHGvVQxY5_9cgieNLlPGz3KG8H6ET-kgEiSNS9SbjdizpSF4tNrMGybYeHCrkzn73jDX7aEV8CReNevRoYps39YixFWIKmr9kLUq_1iSp_bE/s1600/gurumo+muhidin.patapicha.jpg)
Mwili wa marehemu mzee Gurumo umepelekwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti hospitali ya Muhimbili
No comments:
Post a Comment
Ahsante kwa Maoni yako