![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEingE1_4iW8WkJcF-BiAIC7BYBnGM1ZJNm9fHdvidOaurnZrRyILdX_LdWvIuOQ-qqU5HsqLl6k428GURuN30vQQtpM0Ad-D82a-WAQAX6PyR0FNQ8Z0iTo132N118yMHCAg3ofIyUFjdg/s1600/MalaysiaAirlinesflightpath.patapicha.jpg)
Shirika la ndege la Malaysia limewaambia jamaa na familia za abiria waliokuwa wanasafiri kwa ndege iliyotoweka MH370 kwamba ndege hiyo imepotea na kwamba hakuna manusura.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhvCJxNQ_L3yG23FnlMyJwylEY6sjaMfqAhY6_wzoP8BgzL_kZ7_Gf84eWe-4CrOgINQZLDmoX-EmfcIf2O7oX67Vx9eI_avVujEHTri_yStNeutmzbDW6T9ZjPdtUNM2EyHVBCaseWcsI/s1600/MH320.patapicha1.jpg)
Tangazo hilo limetolewa kwa familia hizo kwa njia ya ujumbe wa simu ya mkononi , ambao BBC iliweza kuuona.
Ndege ya Malaysia MH320 ilitoweka ikiwa na abiria 239 baada ya kuruka kutoka uwanja wa ndege wa Kuala Lumpur tarehe 8 mwezi huu.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgcqRYT1SbcquuvSGuTDNz4nHYXsqco7wv03SP4sRuf1Ix6Gsc0GdfuyQarX7RYzFvT3sLLXBHaY0GOH4a-Fm3H10iluu70QqqczvUqmS8H6D0euqexXAKhSJNIhx33YaQBcSbQiSFmNfI/s1600/MH320.patapicha.jpg)
Aidha tangazo hilo limekuja huku juhudi za kutafuta mabaki ya ndege hiyo Kusini mwa Bara Hindi zikimalizika kwa siku ya tano bila mafaniko
No comments:
Post a Comment
Ahsante kwa Maoni yako