
Matokeo ya Kidato cha nne 2013 yatangazwa, kiwango cha ufaulu chapanda kwa asilimia 15.17 kutoka asilimia 43.08 mwaka 2012 hadi 58.25 mwaka 2013.

Watahiniwa wafaulu zaidi katika somo la Kiswahili (67.77%), na wafanya vibaya zaidi Basic Mathematics (17.78%)

INGIA HAPA KUPATA MATOKEO HAYO
http://www.necta.go.tz/index.php
http://41.188.155.122/CSEE2013/olevel.htm
http://www.necta.go.tz/index.php
http://41.188.155.122/CSEE2013/olevel.htm
No comments:
Post a Comment
Ahsante kwa Maoni yako