Sunday 20 November 2016

"HATUNA BAHATI" Mourinho

Kocha wa kikosi cha Mashetani wekundu,Munchester United,Jose Mourinho amesema kikosi chake ni kikosi kisicho na bahati katika ligi kuu ya Uingereza kufuatia sare ya bila kufungana 1-1 na Washika bunduki wa Anfield Arsenal."Ninajua vijana wangu wanachukulia kama wamepoteza,wakati arsenal kwao ni kama ushindi"Mourinho.
Katika mpambano huo arsenal walisawazisha dakika ya 89 kupitia kwa Giroud na kufuta matumaini ya ushindi kwa united ambao walitangulia kwa bao safi la Juan Mata.

                                                      Jose Mourinho.       Picha kwa msaada wa Mtandao