Tuesday 23 June 2015

KWENYE MSIBA WA FLORENCE DYAULI MTANGAZAJI WA TBC




























AJALI BARABARANI

Moja ya Ajali tulizokutana nazo maeneo ya Moroco asubuhi hii wakati tukielekea kumpumzisha Bi Florence Dyauli mwandishi wasiku nyingi wa Tbc
Mpaka tunaondoka eneo la tukio hakuna taarifa ya mtu kopeteza maisha ila ni majeruhi waliokimbizwa hospitali ya karibu
Mungu atulinde na ajali na atufishe pale unapofika wakati wa mtu kurudi kwake.